MAMA LISHE NA BABA LISHE WATENGEWE SEHEMU MAALUM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na TAMISEMI kuhakikisha Mama Lishe na Baba Lishe wanatengewa maeneo maalum nchini kwa ajili ya kufanya shughuli zao kwa mazingira bora na salama.

Samia ameyasema hayo leo katika Ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere International Convention Centre [JNICC]wakati wa kongamano la Mama na Baba Lishe, akisisitiza kuwa hatua hiyo itasaidia kuboresha huduma za chakula, kulinda afya za wananchi na kukuza uchumi wa sekta hiyo



Post a Comment

Previous Post Next Post